Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 18 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan kwa wanawake yalihitimishwa katika hafla ambayo walioshika nafasi za juu walitangazwa na kutunukiwa.
Habari ID: 3478408 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/24
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 18 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan kwa wanawake, yanayojulikana kama "Al-Hashimiya", yalianza Jumamosi huko Amman.
Habari ID: 3478372 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 18 ya kimataifa ya Qur'ani kwa wanawake ya Jordan yatang'oa nanga katika mji mkuu Amman baadaye leo.
Habari ID: 3478368 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/17
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mashabiki wa soka wanamtaja Mousa Mohammad Mousa Sulaiman Al-Tamari kama "Messi wa Jordan".
Habari ID: 3478318 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07
Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Jordan imechapisha nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu tangu ilipoanzishwa mwaka 1968.
Habari ID: 3478237 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22
Watetezi wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema: Serikali ya Uswidi inatakiwa kujibu matakwa ya wazi kabisa ya Waislamu kwa kuwajibika na kufuata kikamilifu kanuni za kimsingi za haki za binadamu, kwa kuhimiza maadili na kuishi pamoja kwa amani wafuasi wa dini tofauti na kuchukua hatua za kivitendo na zenye ufanisi.
Habari ID: 3477679 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/01
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 30 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jordan yamemefungwa huko Amman Jumatatu usiku.
Habari ID: 3476886 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wawakilishi wa Bunge la Jordan wamepigia kura ya ndio pendekezo la kufukuzwa balozi wa utawala haramu wa Israel huko Amman wakilalamikia na kupinga hatua ya waziri wa fedha katika serikali ya mrengo wa kulia ya Israel, ambaye alizua utata mapema wiki hii.
Habari ID: 3476744 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Jordan inapaswa kujiandaa kwa "makabiliano ya kweli" na utawala haramu wa Israel, afisa wa zamani wa Jordan amesema.
Habari ID: 3476743 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 14 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jordan kwa wanawake yalianza katika mji mkuu wa nchi hiyo , Amman Jumamosi jioni.
Habari ID: 3476663 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya watu nchini Jordan wanakataa kutambuliwa kwa utawala wa Israel na uhusiano nao, utafiti mpya unaonyesha.
Habari ID: 3476572 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/16
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Iran itashiriki katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani nchini Jordan na wawakilishi wawili.
Habari ID: 3476306 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/26
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Semina ya pili ya Qur’ani ya Chuo Kikuu cha Kiarabu cha Amman katika mji mkuu wa Jordan ilifanyika katika kitivo cha teolojia ya Kiislamu cha chuo hicho.
Habari ID: 3476249 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/14
Palestina
TEHRAN (IQNA) – Jordan itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa kuhusu mji mtakatifu wa Al-Quds (Jerusalem) mwezi ujao.
Habari ID: 3475834 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Wito unaendelea kutolea nchini Jordan wa kubatilisha hatua ya serikali ya kufunga vituo 68 vya Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3475497 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13
TEHRAN (IQNA) – Mtaalamu wa Qur'ani Tukufu wa Jordan ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutositisha mashindano yake ya kimataifa ya Qur'ani pamoja na kuwepo janga la corona.
Habari ID: 3475006 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ahmad El Tayyib, Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amefanya mazungumzo ya simu na Mfalme Abdallah wa Pili wa Jordan.
Habari ID: 3474829 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/20
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya wananchi wa Jordan wameandamana wakilalamikia mpango wa serikali ya nchi hiyo kutiai saini mapatano mapya na utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
Habari ID: 3474606 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/27
TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi nchini Jordan wamekataa msaada wa masomo wa chuo kikuu kimoja cha Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) baada ya kubainika kuwa msaada huo unatolewa kwa ushirikiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474573 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18
TEHRAN (IQNA) – Qari Hazza Al Balushi ni kijana kutoka Oman mwenye kipaji cha kusoma Qu’ani Tukufu kwa sauti nzuri.
Habari ID: 3474289 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12