iqna

IQNA

hadithi
WASHINGTON, DC (IQNA) - Wanafunzi wa Kansas walipata msukumo katika hadithi za wanawake wa Kiislamu kwenye Chuo Kikuu cha Jimbo la Wichita wiki iliyopita.
Habari ID: 3477712    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/11

Ifahamu Qur'ani Tukufu/ 9
Qur'ani Tukufu Inatambulisha Surati Yusuf kama hadithi bora ambayo inatilia maanani sifa za mwongozo za hadithi , hii Hadithi inatuongoza kwenye ufahamu bora wa Qur'an Tukufu.
Habari ID: 3477189    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/25

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Nuruddin Attar, mfasiri na hafidh maarufu wa Qur’ani Tukufu nchini Syria ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 83.
Habari ID: 3473199    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/24

Mtume Muhammad SAW amesema: Waislamu wote ni ndugu na hakuna aliye bora zaidi ya mwingine ila katika Taqwa (Ucha Mungu). Kanz al-Ummal, Jildi 1, Uk 149. Nahjul Fasaha 3112
Habari ID: 3472209    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/11

Mtume Muhammad SAW amesema: Umoja ni chanzo cha rehema na mifarakano inasababisha adhabu. Kanz al Ummal Hadithi ya 20242
Habari ID: 3472027    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/01

Mtume Muhammad SAW anasema: “Pambeni idi zenu kwa (kutamka) Allahu Akbar. (Kanz al Ummal: Hadithi 24094)
Habari ID: 3471984    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/04

Imam Ali AS alisema: Pepo inapatikana kwa amali na wala si kwa kutamani. Ghurar Al-Hikam Wa Durar Al-Kalim Uk.350 Hadithi ya 4355
Habari ID: 3471437    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/21

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Syarif Hidayatullah mjini Jakarta, Indonesia kimepanga kuandaa kongamano la kimataifa la Qur’ani na Hadithi baadaye mwaka huu.
Habari ID: 3471127    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/17

Habari ID: 3471014    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/10

IQNA: Kongamano la Pili la Kimataifa la "Elimu ya Kiislamu na Utafiti wa Qur'ani na Hadithi za Mtume SAW" limepangwa kufanyika mjini Mataram, Indonesia Machi 2017.
Habari ID: 3470762    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26