iqna

IQNA

malta
TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Malta imeanzisha bodi ya kitaifa kwa lengo la kustawisha mfumo wa Kiislamu wa kifedha ambapo sheria mpya zitatungwa kuwavutia wawekezaji Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3471576    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/29