Ulimwengu wa Kiislamu
MAKKA (IQNA) – Mmoja wa maimamu wa Msikiti Mkuu wa Makka, Saudi Arabia, alilazimika kuacha kusalisha Sala siku ya Ijumaa baada ya kuugua.
Habari ID: 3477422 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/12
TEHRAN (IQNA)- Video imesambaa katika mitandao ya kijamii inayomuonyesha Imamu wa Msikiti wa Makka nchini Saudia, Sheikh Abdul Raham al-Sudais akikosolewa vikali nchini Uswisi kutokana na sera za Saudia za kuihujumu Yemen na kuiwekea Qatar mzingiro.
Habari ID: 3471583 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/04