iqna

IQNA

ikhwan
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Misri imewaweka wanachama wengine 103 wa harakati ya Ikhwanul Muslimin kwenye orodha ya magaidi kufuatia hukumu zilizotolewa na mahakama za nchi hiyo.
Habari ID: 3473806    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/12

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Sudan amekosoa hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano rasmi wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema, hatua hiyo ni usaliti kwa kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3473243    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/09

TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa kundi la Ikhwanul Muslimin la Misri na makumi ya wananchama wa kundi hilo wamehukumiwa kifungo cha maisha jela .
Habari ID: 3471687    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/23

Wafuasi 452 wa Harakati ya Ikwanul Muslimin nchini Misri wamehukumiwa kifungo cha miaka mitatu hadi 25 jela katika hukumu iliyotolewa na mahakama ya kijeshi.
Habari ID: 3341805    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/13

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani hukumu ya kifo dhidi ya rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi na kusema kesi hiyo haikuzingatia taratibu za mahakama.
Habari ID: 3304307    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17