IQNA

Ayatullah Khamenei ahudhuria majlisi ya maombolezo ya usiku wa Ashura mjini Tehran

Shughuli ya maombolezo ya usiku wa Ashura ilifanyika jioni ya jana Jumamosi katika Husseiniya ya Imam Khomeini mjini Tehran, ikihudhuriwa na Kiongozi wa...

Msimamo wa Imam Hussein (AS) ni kielelezo cha kupinga dhulma ya zama hizi

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa mwamko wa Imam Hussein (AS) dhidi ya Yazid bin Muawiya unabaki kuwa mfano wa milele wa kupambana na dhulma...

Mjumbe wa UN: Karbala ina nafasi maalum mioyoni mwa wote

IQNA – Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq una nafasi ya kipekee katika mioyo ya watu...
Wanamichezo Waislamu

Nimerudi Nyumbani’: Bingwa wa Dunia Fred Kerley asema baada kuukumbatia Uislamu

IQNA – Nyota wa Marekani katika mchezo wa riadha, Fred Kerley, ametangaza kuingia katika Uislamu, akishiriki tukio hilo takatifu kupitia video aliyopakia...
Habari Maalumu
Waislamu waadhimisha Siku ya Ashura, kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein (AS)

Waislamu waadhimisha Siku ya Ashura, kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein (AS)

IQNA-Jumapili ya leo ya tarehe 6 Julai inasadifiana na mwezi kumi Muharram 1447 Hijria, siku ya A'shura ya kukumbuka kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhamma...
06 Jul 2025, 18:23
Maombolezo Makubwa Yafanyika Usiku wa Ashura huko Karbala

Maombolezo Makubwa Yafanyika Usiku wa Ashura huko Karbala

IQNA-Maelfu kwa maelfu ya waombolezaji walikusanyika katika mji mtukufu wa Karbala nchini Iraq, usiku wa Ashura, kuadhimisha kuuawa shahidi kwa Imam Hussein...
06 Jul 2025, 18:09
Raj’a ya Imam Hussein (AS): Muendelezo wa Nusra ya Mwenyezi Mungu kwa Manabii na Waumini
Imam Hussein (AS) katika Qur'an /4

Raj’a ya Imam Hussein (AS): Muendelezo wa Nusra ya Mwenyezi Mungu kwa Manabii na Waumini

IQNA – Nusra ya Mwenyezi Mungu hujitokeza kwa namna mbalimbali kwa manabii wa Mwenyezi Mungu na waumini wa kweli.
06 Jul 2025, 11:45
Faida za Imani ya Raj’a katika mwamko wa Imam Hussein (AS)
Imam Hussein (AS) katika Qur'an /3

Faida za Imani ya Raj’a katika mwamko wa Imam Hussein (AS)

IQNA – Imani juu ya Raj’a (kurejea duniani) katika mwamko wa Imam Hussein (AS) pamoja na masahaba wake waaminifu, hubeba baraka nyingi za kiroho na maadili.
05 Jul 2025, 09:48
Hizbullah yasisitiza kuwa haitajisalimisha

Hizbullah yasisitiza kuwa haitajisalimisha

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amekataa wazo la kusalimisha au kuachana na silaha za harakati hiyo ya mapambano,...
05 Jul 2025, 19:07
Kuuawa Shahidi Siyo Mwisho Bali Ni Mwanzo wa Kuamsha Mataifa

Kuuawa Shahidi Siyo Mwisho Bali Ni Mwanzo wa Kuamsha Mataifa

IQNA – Utamaduni wa Ashura hauangalii kufa shahidi kama mwisho wa safari bali ni mwanzo wa kuamsho wa mataifa, amesema mwanazuoni kutoka Iran.
05 Jul 2025, 18:47
Askari 40 Waisraeli waangamizwa na kujeruhiwa katika mapigano Gaza

Askari 40 Waisraeli waangamizwa na kujeruhiwa katika mapigano Gaza

IQNA-Kamanda mwandamizi wa Sarayal-Quds, tawi la kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina ametangaza kuwa, askari wapatao 40 wa jeshi la utawala...
05 Jul 2025, 18:15
Haram ya Imam Hussein (AS) imeandaa tukio la Tuwairaj siku ya Ashura

Haram ya Imam Hussein (AS) imeandaa tukio la Tuwairaj siku ya Ashura

IQNA – Wasimamizi wa Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza kukamilika kwa maandalizi katika milango yote ya kuingilia kaburi hilo takatifu...
05 Jul 2025, 18:29
Msomi maarufu wa Qur'ani Iran, Seyyed Mohammad Baqer Hojjat afariki akiwa na umri wa miaka 92
Inna Lillah wa Inna Ilahyi Rajioun

Msomi maarufu wa Qur'ani Iran, Seyyed Mohammad Baqer Hojjat afariki akiwa na umri wa miaka 92

IQNA - Mwanachuoni mashuhuri wa Qur'ani na Hadithi wa Iran, Hujjatul slam Dk. Seyyed Mohammad Baqer Hojjat, anayejulikana sana kama "Baba wa Sayansi ya...
04 Jul 2025, 19:05
Mifumo ya kupunguza joto  katika Haram ya Imam Hussein (AS) wakati wa Muharram

Mifumo ya kupunguza joto  katika Haram ya Imam Hussein (AS) wakati wa Muharram

IQNA – Idara ya kiufundi na uhandisi ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza kutekelezwa kwa mradi maalumu wa kiyoyozi unaolenga...
04 Jul 2025, 18:53
Mwanamke Muislamu ashambuliwa Canada, avuliwa Hijabu  katika hujuma ya huki

Mwanamke Muislamu ashambuliwa Canada, avuliwa Hijabu katika hujuma ya huki

IQNA – Mwanamke Muislamu alishambuliwa kwa ukatili mahali pake pa kazi huko Oshawa, Ontario, Canada katika tukio ambalo viongozi wa jamii wanaitaka polisi...
04 Jul 2025, 18:30
Ufaransa yashuhudia kuongezeka kwa Matukio ya Chuki Dhidi ya Waislamu mwaka 2025

Ufaransa yashuhudia kuongezeka kwa Matukio ya Chuki Dhidi ya Waislamu mwaka 2025

IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeripoti ongezeko la asilimia 75 la matukio ya chuki dhidi ya Waislamu katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka 2025, huku mashambulizi...
04 Jul 2025, 18:21
Ansarullah ya Yemen: Wazayuni wanaendeleza ukatili wao huko Gaza bila huruma

Ansarullah ya Yemen: Wazayuni wanaendeleza ukatili wao huko Gaza bila huruma

IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio...
04 Jul 2025, 18:13
Yale Qur’ani inasema kuhusu dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS)
Imam Hussein (AS) katika Qur’an – Sehemu ya 2

Yale Qur’ani inasema kuhusu dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS)

IQNA – Dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS) ni ya wazi na ya kina kiasi kwamba inaweza kuchukuliwa kuwa ni taswira halisi ya baadhi ya aya tukufu za Qur’ani.
03 Jul 2025, 22:02
Wahifadhi wawili wa Qur’ani kuwakilisha Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Saudia

Wahifadhi wawili wa Qur’ani kuwakilisha Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Saudia

IQNA – Iran imetangaza majina ya wawakilishi wake katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yatakayoandaliwa nchini Saudi Arabia.
03 Jul 2025, 22:35
Sheikh Issa Qassim: Vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei ni sawa na kuuvunjia heshima Umma wa Kiislamu

Sheikh Issa Qassim: Vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei ni sawa na kuuvunjia heshima Umma wa Kiislamu

IQNA: Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia wa nchini Bahrain amelaani vikali kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani cha kumvunjia heshima na kumtishia...
03 Jul 2025, 22:16
Picha‎ - Filamu‎