IQNA

Sheikh Zakzaky awataka Waislamu kushikamana na kujiepusha na mifarakano

IQNA – Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Hujjatul-Islam Sheikh Ibrahim Zakzaky, ametoa onyo zito kwa Waislamu dhidi ya mitego ya migogoro...

Misikiti Uingereza yafanywa vituo vya kuripoti vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Katika hatua inayoangazia kukithiri kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na vitendo vya uhasama katika jamii ya Uingereza, vituo vipya vya...

Qatar: Vituo vya elimu ya Qur’ani kwa wanawake vyashuhudia mafanikio makubwa ya asilimia 87

IQNA – Vituo vya mafunzo ya Qur’ani Tukufu vinavyosimamiwa na Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu ya Qatar vimefikia kilele cha mafanikio ya asilimia...

Mwalimu mashuhuri wa Qur’ani Tukufu aenziwa kwa huduma ya nusu karne Macedonia Kaskazini

IQNA – Kundi la wanafunzi waliosoma chini ya mwalimu mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Macedonia Kaskazini wamekusanyika na kuadhimisha kumbukumbu ya...
Habari Maalumu
Ubelgiji: Mwalimu Muislamu afutwa kazi kwa kushikamana na vazi lake la staha la Hijabu

Ubelgiji: Mwalimu Muislamu afutwa kazi kwa kushikamana na vazi lake la staha la Hijabu

IQNA – Mwalimu mmoja wa kike Muislamu katika jimbo la East Flanders nchini Ubelgiji amefutwa kazi kwa uonevu baada ya kukataa kusalimu amri mbele ya sheria...
15 Sep 2026, 08:15
Madrasa ya Miri-Arab Yenye Umri wa Miaka 500: Nembo ya Ustawi wa Kidini na Kiutamaduni Katika Asia ya Kati

Madrasa ya Miri-Arab Yenye Umri wa Miaka 500: Nembo ya Ustawi wa Kidini na Kiutamaduni Katika Asia ya Kati

IQNA – Madrasa ya kihistoria ya Miri-Arab (chuo cha kidini) iliyoko katika mji mtukufu wa Bukhara, nchini Uzbekistan, ni miongoni mwa maeneo yaliyosajiliwa...
14 Sep 2026, 11:43
Kuvunjiwa heshima kwa Qur’ani Tukufu nchini Italia kwazua mawimbi ya malalamiko

Kuvunjiwa heshima kwa Qur’ani Tukufu nchini Italia kwazua mawimbi ya malalamiko

IQNA – Kitendo cha kuvunjiwa heshima na kuchomwa moto kwa nakala ya Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mwanaharakati mmoja wa kisiasa nchini Italia kimezua...
14 Sep 2026, 22:08
Waharibifu wachafua msikiti wa kihistoria nchini Ugiriki kwa maandishi ya dharau

Waharibifu wachafua msikiti wa kihistoria nchini Ugiriki kwa maandishi ya dharau

IQNA – Msikiti mmoja wa kihistoria katika mji wa Xanthi, Thrace Magharibi, nchini Ugiriki, umechafuliwa kwa michoro na maandishi ya dharau yanayolenga...
14 Sep 2026, 11:31
Waandishi wa habari 37 wa Palestina wanashikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni

Waandishi wa habari 37 wa Palestina wanashikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni

IQNA – Utawala wa Kizayuni unashikilia waandishi wa habari 37 wa Palestina katika jela zake, ikiwa ni pamoja na 19 wanaoshikiliwa chini ya utaratibu wa...
14 Sep 2026, 11:24
Utawala wa Israeli unawalenga Wakurugenzi wa NAZA baada ya Ushindi wa Venice

Utawala wa Israeli unawalenga Wakurugenzi wa NAZA baada ya Ushindi wa Venice

IQNA – Akisema kuwa ushindi wa filamu hiyo katika tamasha la Venice ni “wa kushtua” na kuitaja filamu hiyo ya makala (documentary) kuwa “chafu,” Waziri...
14 Sep 2026, 11:19
Klipu ya video ya chipukizi wa Manchester United akisoma Qur’ani Tukufu yasambaa kwa kasi mitandaoni

Klipu ya video ya chipukizi wa Manchester United akisoma Qur’ani Tukufu yasambaa kwa kasi mitandaoni

IQNA – Kipande cha video kinachomwonyesha mshambuliaji chipukizi mwenye mustakabali mzuri wa klabu ya Manchester United akisoma Qur’ani Tukufu kimeteka...
13 Sep 2026, 16:36
Waziri wa Masuala ya Dini wa Indonesia: MTQ ni fursa adhimu ya kujenga mwenendo na tabia ya Kiqur’ani

Waziri wa Masuala ya Dini wa Indonesia: MTQ ni fursa adhimu ya kujenga mwenendo na tabia ya Kiqur’ani

IQNA – Kwa Waziri wa Masuala ya Dini wa Indonesia, Prof. Nasaruddin Umar, Musabaqa ya 31 ya Kitaifa ya Qiraa na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu (MTQ), inayoendelea...
13 Sep 2026, 16:30
Palestina yapongeza msimamo wa BRICS katika kuunga mkono haki za Wapalestina

Palestina yapongeza msimamo wa BRICS katika kuunga mkono haki za Wapalestina

IQNA – Palestina imepokea kwa furaha tamko lililotolewa katika mkutano wa viongozi wa BRICS, ikipongeza msimamo wake thabiti wa kuunga mkono haki za watu...
13 Sep 2026, 16:26
Misri kuandaa mashindano ya 7 ya Qur’ani kwa wanafunzi wa kimataifa

Misri kuandaa mashindano ya 7 ya Qur’ani kwa wanafunzi wa kimataifa

IQNA – Toleo la saba la mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa ajili ya wanafunzi wa kimataifa wanaosoma nchini Misri limepangwa kufanyika baadaye mwezi huu.
13 Sep 2026, 16:15
Taasisi ya mrengo wa kulia nchini Marekani yafichuka kufuatilia Waislamu kwa miongo miwili

Taasisi ya mrengo wa kulia nchini Marekani yafichuka kufuatilia Waislamu kwa miongo miwili

IQNA – Taasisi moja ya mrengo wa kulia nchini Marekani imekiri kuendesha hifadhi ya data (database) yenye maelezo ya maelfu ya Waislamu wa Marekani na...
13 Sep 2026, 16:03
Qiraa ya Qur’ani Nchini Misri: Zama za Dhahabu na Kipindi cha Mdororo
Fani ya Qiraa nchini Misri/2

Qiraa ya Qur’ani Nchini Misri: Zama za Dhahabu na Kipindi cha Mdororo

IQNA – Historia ya usomaji wa Qur’ani Tukufu (Qiraa) katika Ulimwengu wa Kiislamu, na hususan nchini Misri, inavuka mbali zaidi ya zama za kuanza kurekodi...
12 Sep 2026, 18:09
Mafunzo ya kuhifadi Qur’ani kwa watoto yafanyika Najaf

Mafunzo ya kuhifadi Qur’ani kwa watoto yafanyika Najaf

IQNA – Mafunzo ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto yamefanyika katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
12 Sep 2026, 18:23
Jinsi 9/11 Ilivyootesha mizizi ya Chuki Dhidi ya Uislamu katika siasa za Marekani

Jinsi 9/11 Ilivyootesha mizizi ya Chuki Dhidi ya Uislamu katika siasa za Marekani

IQNA – Miaka ishirini na mitano tangu mashambulizi ya Septemba 11, Waislamu wa Marekani wamejifunza jinsi ya kuishi katika eneo hatari lililo katikati...
12 Sep 2026, 18:19
Fainali ya  Mashindano ya 38 ya Kitaifa ya Qur’ani ya Maldives

Fainali ya Mashindano ya 38 ya Kitaifa ya Qur’ani ya Maldives

IQNA – Mashindano ya 38 ya Kitaifa ya Qur’ani nchini Maldives (Maldivi) yanaendelea nchini humo, huku hatua ya fainali ikitarajiwa kuanza siku ya Jumatano.
12 Sep 2026, 17:56
Kwa Nini Lango-Bahari la Bab al-Mandab na Bandari ya Al-Mokha ni uhimu sana kwa Yemen na Ulimwengu
Uchambuzi

Kwa Nini Lango-Bahari la Bab al-Mandab na Bandari ya Al-Mokha ni uhimu sana kwa Yemen na Ulimwengu

(IQNA) – Majeshi ya Jamhuri ya Yemen yamefanikiwa kukomboa na kuchukua udhibiti maeneo ya al-Mokha na Bab al-Mandab kwa kasi kubwa, hatua iliyofuta uwekezaji...
12 Sep 2026, 13:01
Picha‎ - Filamu‎