IQNA

Nidhamu Katika Qur'ani/ 5

Kujistahi na nidhamu ya kihisia kulingana na Qur'ani

IQNA - Sababu kuu ya hisia nyingi zisizohitajika ni ukosefu wa kujistahi au ile hisia ya kujiheshimu.
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya Qur'ani ya Malaysia

IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani katika jimbo la Sabah nchini Malaysia yamezinduliwa katika mji wa Kota Kinabalu Jumatano
Turathi za Kiislamu

Msahafu wa zama za Uthmaniyya kupigwa mnada jijini London

IQNA – Msahafu wa kipekee wa enzi za Uthmaniyya ni miongoni mwa bidhaa za sanaa za Kiislamu zitakazopigwa mnada Sotheby's London wiki hii.
Harakati za Qur'ani

Idhaa ya Qur'ani ya Misri yaadhimisha miaka 60 tokea iasisiwe

IQNA - Sherehe imefanyika katika Radio au Idhaa ya Qur'ani ya Misri huko Cairo kusherehekea kumbukumbu ya miaka 60 ya kuanzishwa kwa kituo hicho cha redio
Habari Maalumu
Zaidi ya Wairani 83,000 kushiriki ibada ya Hija mwaka huu
Hija

Zaidi ya Wairani 83,000 kushiriki ibada ya Hija mwaka huu

IQNA - Zaidi ya Wairani 83,000 wataelekea Saudi Arabia kushiriki katika ibada ya Hija mwaka huu, afisa mmoja alisema.
23 Apr 2024, 11:20
Umoja wa Mataifa washtushwa na kugunduliwa kwa kaburi la umati Gaza
Jina za Israel

Umoja wa Mataifa washtushwa na kugunduliwa kwa kaburi la umati Gaza

IQNA - Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameitaja ripoti kuhusu kugunduliwa kwa makaburi ya halaiki huko Gaza kuwa ni ya kushtusha, huku ushahidi wa awali ukionyesha...
23 Apr 2024, 11:30
Afisa wa Al-Azhar aangazia changamoto katika kutafsiri maandishi ya kidini
Elimu

Afisa wa Al-Azhar aangazia changamoto katika kutafsiri maandishi ya kidini

IQNA - Naibu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna changamoto nyingi katika kazi ya tarjuma au tafsiri ya maandiko ya kidini,...
23 Apr 2024, 11:07
Nidhamu ya Kihisia na Mafundisho ya Qur'ani
Nidhamu Katika Qur'ani /4

Nidhamu ya Kihisia na Mafundisho ya Qur'ani

IQNA - Kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani Tukufu, tabia ya mtu ya kutetea kwa ukali maoni na matamanio yake inaondolewa na uwezo wake wa kudhibiti hisia...
23 Apr 2024, 09:59
Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa Kabla ya Pasaka
Jinai za Israel

Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa Kabla ya Pasaka

IQNA - Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) siku ya Jumatatu chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi wa...
23 Apr 2024, 09:37
Wairani wanaoenda Umrah watakiwa kuwaombea Wapalestina wa Gaza
Umrah 1445

Wairani wanaoenda Umrah watakiwa kuwaombea Wapalestina wa Gaza

IQNA - Afisa wa Hijja wa Iran amelitaka kundi la kwanza la Wairani walioelekea Saudia kwa ajili ya Hija ndogo ya Umra kuwakumbuka Wapalestina hasa wa...
22 Apr 2024, 21:01
Miili 190 yapatikana katika kaburi la umati hospitalini Gaza baada askari wa Israel kutoroka
Jinai za Israel

Miili 190 yapatikana katika kaburi la umati hospitalini Gaza baada askari wa Israel kutoroka

IQNA - Takriban miili 190 imetolewa kwenye kaburi la umati katika Hospitali ya Nasser katika mji wa Khan Younis kusini mwa Ukanda wa Gaza.
22 Apr 2024, 20:48
Mchambuzi wa Syria: Operesheni ya Iran dhidi ya Israel imeleta mabadiliko ya kihistoria
Ahadi ya Kweli

Mchambuzi wa Syria: Operesheni ya Iran dhidi ya Israel imeleta mabadiliko ya kihistoria

IQNA - Mwanaharakati wa kisiasa wa Syria amesema shambulio la makombora ya Iran na ndege zisizo na rubani dhidi ya Israeli mapema mwezi huu limeleta mabadiliko...
22 Apr 2024, 10:28
Mwigizaji Donnie Roelvink atangaza Kusilimu
Waislamu Ulaya

Mwigizaji Donnie Roelvink atangaza Kusilimu

IQNA - Mwigizaji wa Uholanzi Donnie Roelvink amesilimu siku ya Ijumaa, Aprili 19, kwa kutamka Shahadah.
22 Apr 2024, 09:58
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya wenye vipaji maalumu
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya wenye vipaji maalumu

IQNA - Misri inaandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wenye vipaji maalumu lengo likiwa ni  kukuza utamaduni wa Kiislamu.
22 Apr 2024, 10:44
Amiri Jeshi Mkuu Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika operesheni ya Ahadi ya Kweli
Ahadi ya Kweli

Amiri Jeshi Mkuu Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika operesheni ya Ahadi ya Kweli

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Vikosi vya kijeshi vimeonyesa taswira nzuri ya uwezo na mamlaka yao, na pia taswira...
21 Apr 2024, 16:34
Qari wa Algeria asoma aya za Qur'ani kwa heshima kwa watu wa Gaza (+Video)
Kadhia ya Palestina

Qari wa Algeria asoma aya za Qur'ani kwa heshima kwa watu wa Gaza (+Video)

IQNA - Picha za qari wa Algeria akisoma Qur'ani kwa ajili ya kuwaenzi watu wa Gaza zimesambaa katika mitandao ya kijamii.
21 Apr 2024, 16:26
Msanii anaonya kuhusu kufifia kaligrafia ya Qur'ani
Sanaa katika Uislamu

Msanii anaonya kuhusu kufifia kaligrafia ya Qur'ani

IQNA - Mwandishi kaligrafia nchini Iran ambaye ni mtaalamu wa uandishi wa maandishi ya kidini, hususan aya za Qur'ani Tukufu, amebainisha wasiwasi kuhusu...
21 Apr 2024, 16:01
Wawakilishi wa nchi 30 wanashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Rwanda
Mashindano ya Qur'ani

Wawakilishi wa nchi 30 wanashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Rwanda

IQNA - Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yanafanyika nchini Rwanda leo Jumapili.
21 Apr 2024, 15:39
Hatima ambayo Mwenyezi Mungu ameainisha na nidhamu ya kihisia katika Qur'ani
Nidhamu Katika Qur'ani / 3

Hatima ambayo Mwenyezi Mungu ameainisha na nidhamu ya kihisia katika Qur'ani

IQNA – Baadhi ya mafundisho ya Qur'ani kama vile yale kuhusu kudhibi Mwenyezi Mungu mambo yote na matukio yanayotokea maishani hutusaidia kudhibiti na...
20 Apr 2024, 20:50
Mbunge wa Uturuki asoma Qur'ani kupongeza Operesheni ya 'Ahadi ya Kweli' ya Iran dhidi ya Israel
Ahadi ya Kweli

Mbunge wa Uturuki asoma Qur'ani kupongeza Operesheni ya 'Ahadi ya Kweli' ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mbunge mmoja wa Uturuki ameiongeza Iran kwa kutekeleza operesheni ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya utawala wa Israel hivi karibuni.
20 Apr 2024, 20:25
Picha‎ - Filamu‎