Habari Maalumu
IQNA – Msikiti Mkuu wa Al-Azhar umetangaza uzinduzi wa matawi mapya 70 ya Taasisi ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar katika miji mbalimbali ya Misri.
11 Nov 2025, 17:16
Inna Lillah wa Inna Ilahyi Rajioun
IQNA – Mwanasayansi na msomi wa Kiislamu kutoka Misri, Dkt. Zaghloul Ragheb Mohammed El-Naggar, ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 92, kwa mujibu wa taarifa...
10 Nov 2025, 14:34
IQNA – Naibu wa Qur’ani na Etrat katika Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa Maonesho ya 33 ya Kimataifa...
10 Nov 2025, 14:29
IQNA – Kisomo cha Qur’ani Tukufu kwa tarteel kilichorekodiwa na wanafunzi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kitaanza kurushwa hewani kupitia...
10 Nov 2025, 14:23
IQNA – Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi Arabia siku ya Jumapili imezindua rasmi Mkutano na Maonesho ya 5 ya Hajj kwa mwaka 1447 Hijria, yanayoendelea...
10 Nov 2025, 14:17
IQNA – Awamu ya kwanza ya mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani imeanza rasmi nchini Qatar, kwa mujibu wa taarifa ya Wizara...
10 Nov 2025, 14:14
IQNA – Mradi wa kutafsiri Qur'an kwa lugha ya Rohingya umeanzishwa katika mazingira ambapo Waislamu wa Rohingya wamekuwa wakilengwa na dhulma na kufukuzwa...
09 Nov 2025, 17:43
IQNA – Washairi kutoka nchi 25 wamewasilisha takriban mashairi 1,500 katika Tamasha la Kimataifa la Ushairi la “Mtume wa Rehema,” lilioandaliwa kwa heshima...
09 Nov 2025, 17:16
IQNA – Katika kura ya maamuzi yenye uzito, Shirikisho la Soka la Ireland (FAI) limeunga mkono azimio linaloitaka UEFA kuifukuza Israel kutoka kwenye mashindano...
09 Nov 2025, 17:11
IQNA – Kituo cha Uchapishaji na Usambazaji wa Qur'an Tukufu cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimeanza kutumia teknolojia za Akili Mnemba (AI) kwa ajili...
09 Nov 2025, 17:07
IQNA – Takriban walowezi haramu 3,939 Waisraeli waliuvamia msikiti mtukufu wa Al-Aqsa wiki iliyopita wakiwa chini ya ulinzi wa majeshi ya utawala wa Kizayuni,...
09 Nov 2025, 17:00
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu /9
IQNA – Qur’ani Tukufu inakataza waziwazi aina yoyote ya ushirikiano katika maovu au uonevu. Katika Surah Al-Ma’idah aya ya 2, Allah anasema: “Wala msisaidiane...
08 Nov 2025, 14:53
IQNA – Mashambulio dhidi ya misikiti nchini Uingereza yameripotiwa kuongezeka kwa kasi katika miezi ya hivi karibuni, huku ripoti mpya ikihusisha ongezeko...
08 Nov 2025, 14:46
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimelaani mlipuko wa bomu uliotokea katika msikiti mjini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, wakati wa...
08 Nov 2025, 14:39
IQNA – Mtaalamu wa afya ya akili nchini Iran ameonya kwamba matumizi kupita kiasi ya mitandao ya kijamii yanawafanya vijana kujitenga, huku yakibadilisha...
08 Nov 2025, 13:48
IQNA-Operesheni ya pamoja ya kukabiliana na ugaidi kati ya Jamhuri ya Ireland na Ireland Kaskazini imefanikiwa kuzuia shambulio lililopangwa dhidi ya msikiti...
08 Nov 2025, 13:33