Habari Maalumu
IQNA – Mwalimu mmoja wa kike Muislamu katika jimbo la East Flanders nchini Ubelgiji amefutwa kazi kwa uonevu baada ya kukataa kusalimu amri mbele ya sheria...
15 Sep 2026, 08:15
IQNA – Madrasa ya kihistoria ya Miri-Arab (chuo cha kidini) iliyoko katika mji mtukufu wa Bukhara, nchini Uzbekistan, ni miongoni mwa maeneo yaliyosajiliwa...
14 Sep 2026, 11:43
IQNA – Kitendo cha kuvunjiwa heshima na kuchomwa moto kwa nakala ya Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mwanaharakati mmoja wa kisiasa nchini Italia kimezua...
14 Sep 2026, 22:08
IQNA – Msikiti mmoja wa kihistoria katika mji wa Xanthi, Thrace Magharibi, nchini Ugiriki, umechafuliwa kwa michoro na maandishi ya dharau yanayolenga...
14 Sep 2026, 11:31
IQNA – Utawala wa Kizayuni unashikilia waandishi wa habari 37 wa Palestina katika jela zake, ikiwa ni pamoja na 19 wanaoshikiliwa chini ya utaratibu wa...
14 Sep 2026, 11:24
IQNA – Akisema kuwa ushindi wa filamu hiyo katika tamasha la Venice ni “wa kushtua” na kuitaja filamu hiyo ya makala (documentary) kuwa “chafu,” Waziri...
14 Sep 2026, 11:19
IQNA – Kipande cha video kinachomwonyesha mshambuliaji chipukizi mwenye mustakabali mzuri wa klabu ya Manchester United akisoma Qur’ani Tukufu kimeteka...
13 Sep 2026, 16:36
IQNA – Kwa Waziri wa Masuala ya Dini wa Indonesia, Prof. Nasaruddin Umar, Musabaqa ya 31 ya Kitaifa ya Qiraa na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu (MTQ), inayoendelea...
13 Sep 2026, 16:30
IQNA – Palestina imepokea kwa furaha tamko lililotolewa katika mkutano wa viongozi wa BRICS, ikipongeza msimamo wake thabiti wa kuunga mkono haki za watu...
13 Sep 2026, 16:26
IQNA – Toleo la saba la mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa ajili ya wanafunzi wa kimataifa wanaosoma nchini Misri limepangwa kufanyika baadaye mwezi huu.
13 Sep 2026, 16:15
IQNA – Taasisi moja ya mrengo wa kulia nchini Marekani imekiri kuendesha hifadhi ya data (database) yenye maelezo ya maelfu ya Waislamu wa Marekani na...
13 Sep 2026, 16:03
Fani ya Qiraa nchini Misri/2
IQNA – Historia ya usomaji wa Qur’ani Tukufu (Qiraa) katika Ulimwengu wa Kiislamu, na hususan nchini Misri, inavuka mbali zaidi ya zama za kuanza kurekodi...
12 Sep 2026, 18:09
IQNA – Mafunzo ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto yamefanyika katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
12 Sep 2026, 18:23
IQNA – Miaka ishirini na mitano tangu mashambulizi ya Septemba 11, Waislamu wa Marekani wamejifunza jinsi ya kuishi katika eneo hatari lililo katikati...
12 Sep 2026, 18:19
IQNA – Mashindano ya 38 ya Kitaifa ya Qur’ani nchini Maldives (Maldivi) yanaendelea nchini humo, huku hatua ya fainali ikitarajiwa kuanza siku ya Jumatano.
12 Sep 2026, 17:56
Uchambuzi
(IQNA) – Majeshi ya Jamhuri ya Yemen yamefanikiwa kukomboa na kuchukua udhibiti maeneo ya al-Mokha na Bab al-Mandab kwa kasi kubwa, hatua iliyofuta uwekezaji...
12 Sep 2026, 13:01