IQNA

Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Makkah zakamilika

IQNA – Raundi ya mwisho ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na Kufasiri Qur’ani Tukufu imemalizika Alhamisi katika...

Wizara ya Wakfu ya Morocco ina mpango ya kutoa mafunzo kwa maimamu 48,000

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Morocco imetangaza mpango mkubwa wa miaka mitatu wa kuwapa mafunzo mapya maimamu 48,000 wa misikiti kote...

Uwezo wa Kiustaarabu wa Arbaeen Wazidi Kudhihirika Kila Siku

IQNA – Uwezo wa kiustaarabu na wa kujenga taifa ulio ndani ya matembezi n a ziyara yakila mwaka ya Arbaeen unazidi kudhihirika kadiri siku zinavyosonga,...

Wafanyaziara Milioni nne wamefika Iraq kushiriki hafla ya Arbaeen

IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa wafanyaziara wa kigenizaidi ya milioni 4.1 wameshiriki katika ziara ya mwaka huu ya Arbaeen.
Habari Maalumu
Rais wa Misri ahimiza ustawishaji wa tovuti ya Idhaa ya Qur’an Tukufu

Rais wa Misri ahimiza ustawishaji wa tovuti ya Idhaa ya Qur’an Tukufu

IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri amesisitiza umuhimu wa kuendeleza tovuti ya kimataifa ya Idhaa ya Qur’an Tukufu ya nchi hiyo.
15 Aug 2025, 20:16
Maadhimisho ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS) yavutia mamilioni ya Waislamu

Maadhimisho ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS) yavutia mamilioni ya Waislamu

IQNA-Mamilioni ya Waislamu kutoka pembe mbalimbali za dunia wamekusanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kuadhimisha Arbaeen au Arubaini ya...
14 Aug 2025, 22:51
Maadhimisho ya Arbaeen yadhihirisha umoja na msimamo wa Waislamu Dhidi ya Dhulma

Maadhimisho ya Arbaeen yadhihirisha umoja na msimamo wa Waislamu Dhidi ya Dhulma

IQNA – Katika ziara ya Arbaeen, Waislamu hukusanyika kwa mshikamano ili kufikisha ujumbe wa pamoja wa kusimama imara na kudai haki, amesema afisa wa Kiirani.
14 Aug 2025, 23:09
Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

IQNA – Kamati Kuu ya Iraq ya Uratibu wa Wafanyaziyara Mamilioni imetangaza kuwa hadi sasa hakuna ukiukaji wowote wa usalama ulioripotiwa wakati wa matembezi...
14 Aug 2025, 00:05
Programu za Qur’ani Zafanyika kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf

Programu za Qur’ani Zafanyika kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf

IQNA – Jukwaa la Kielimu la Qur’ani Tukufu, linalohusiana na Astan (uwakilishi wa ulinzi na usimamizi) wa Haram ya Hazrat Abbas (AS), linaandaa programu...
13 Aug 2025, 23:54
Chuo Kikuu cha Qur’ani Yemen Chaanza Shughuli za Maadhimisho ya Milad-un-Nabi

Chuo Kikuu cha Qur’ani Yemen Chaanza Shughuli za Maadhimisho ya Milad-un-Nabi

IQNA – Shughuli za kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) zimezinduliwa rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
13 Aug 2025, 23:46
Mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu ashambuliwa kwenye basi Ottawa katika shambulio la chuki

Mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu ashambuliwa kwenye basi Ottawa katika shambulio la chuki

IQNA – Mwanamke mchanga Muislamu aliyevaa hijaab ameshambuliwa na kutishiwa maisha ndani ya basi la jiji la Ottawa, Canada eneo la Kanata, katika tukio...
13 Aug 2025, 23:36
Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

IQNA – Mashindano ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen yametangaza rasmi mwaliko wa ushiriki katika nyanja mbalimbali za sanaa na fasihi.
13 Aug 2025, 23:21
Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

IQNA – Pendekezo la kutangaza Adhana mara moja kwa wiki kutoka Msikiti wa Lakemba limekataliwa na baraza la eneo hilo, lakini viongozi wa jamii wamesema...
13 Aug 2025, 00:01
Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Mashirika 14 ya Kiislamu nchini Uholanzi yamewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya mwanasiasa wa mrengo mkali wa kulia na anayepinga Uislamu, Geert...
12 Aug 2025, 23:52
Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Ayatullah Ali al-Sistani amewataka wafanyaziyara wa Arbaeen kudumisha swala kwa wakati, ikhlasi ya moyo na na mavazi ya heshima na yenye staha katika...
12 Aug 2025, 23:40
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah 2025: Siku ya Tatu Yawaleta Washiriki 18

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah 2025: Siku ya Tatu Yawaleta Washiriki 18

IQNA – Toleo la 45 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani linaloendelea mjini Makkah limeendelea Jumatatu katika Msikiti Mtukufu (Masjid al Haram), likishuhudia...
12 Aug 2025, 23:20
Kusoma Qur’ani Kwenye Njia ya Arbaeen ‘Hakuna Mfano Wake,’ Asema Qari

Kusoma Qur’ani Kwenye Njia ya Arbaeen ‘Hakuna Mfano Wake,’ Asema Qari

IQNA – Qari kutoka Iran, Hamidreza Amadi-Vafa, amesema kuwa kusoma Qur’ani katika njia ya kutoka Najaf hadi Karbala wakati wa Arbaeen hujenga mazingira...
12 Aug 2025, 23:09
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah: Roboti Zatumika Kuboresha Huduma kwa Wageni

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah: Roboti Zatumika Kuboresha Huduma kwa Wageni

IQNA – Roboti za kielektroniki zinazoweza kuingiliana na watumiaji zimetumika katika toleo la 45 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika Makkah...
11 Aug 2025, 23:59
Mufti Mkuu wa India Ahamasisha Saumu a Kuomba Dua kwa Ajili ya Gaza

Mufti Mkuu wa India Ahamasisha Saumu a Kuomba Dua kwa Ajili ya Gaza

IQNA – Mufti Mkuu wa India amewahimiza maimamu wa misikiti mbalimbali nchini humo kuandaa dua maalumu na saumu kwa nia ya kuwasaidia Waislamu wa Gaza.
11 Aug 2025, 23:47
Jukwaa la ‘Misbah’ Kufundisha Qur’ani kwa Wasiozungumza Kiarabu

Jukwaa la ‘Misbah’ Kufundisha Qur’ani kwa Wasiozungumza Kiarabu

IQNA – Jukwaa la kielimu la Qur’ani kwa ajili ya wasiozungumza Kiarabu linazinduliwa nchini Saudi Arabia.
11 Aug 2025, 23:32
Picha‎ - Filamu‎