IQNA

Ayatullah Khamenei amjulia hali mwanazuoni aliyelazwa hospitalini

Ayatullah Khamenei amjulia hali mwanazuoni aliyelazwa hospitalini

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, alimtembelea Ayatullah Hossein Ali Nouri Hamedani katika hospitali moja mjini Tehran.
16:49 , 2025 May 07
Uanzishwaji wa Sekretarieti ya Kudumu kwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran 

Uanzishwaji wa Sekretarieti ya Kudumu kwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran 

IQNA – Mkutano umefanyika Tehran Jumatatu ili kujadili mikakati ya kuendeleza vipengele vya kimataifa vya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. 
23:58 , 2025 May 06
Maktaba ya Kitaifa ya Misri inahifadhi hati adimu za Qur’ani kutoka historia ya Kiislamu

Maktaba ya Kitaifa ya Misri inahifadhi hati adimu za Qur’ani kutoka historia ya Kiislamu

IQNA-Maktaba na Makavazi ya Kitaifa ya Misri, inayojulikana kama Dar Al-Kutub, inahifadhi mkusanyiko wa kipekee wa hati za Qur’ani za kale na za kihistoria, baadhi yake zikiwa na zaidi ya miaka elfu moja.
23:49 , 2025 May 06

"Tuko Katika Ahadi": Kaulimbiu Kuu ya Matembezi  ya Arbaeen    

IQNA-Iran imetangaza kaulimbiu rasmi ya matembezi adhimu ya ya Arbaeen mwaka 1447 (2025), ni Inna Ala Al-Ahd" (Tuko Katika Ahadi") ili kuonyesha uaminifu kwa maadili ya Imam Hussein (AS). 
23:38 , 2025 May 06
Huduma za kidijitali zinazotumia Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji

Huduma za kidijitali zinazotumia Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji

IQNA – Mpango mpana wa uendeshaji kwa msimu wa Hija utazinduliwa nchini Saudi Arabia, huku tangazo rasmi likipangwa kutolewa Alhamisi. 
23:19 , 2025 May 06
Tuzo  ya Kimataifa ya Qur’ani ya Karbala: Raundi ya pili ya hatua ya awali yaanza

Tuzo  ya Kimataifa ya Qur’ani ya Karbala: Raundi ya pili ya hatua ya awali yaanza

IQNA-Taasisi ya Dar-ol-Quran ya Idara ya Mfawidhi wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) imetangaza kuanza kwa raundi ya pili katika hatua ya awali ya Tuzo ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Karbala.
22:48 , 2025 May 06
Picha: Haram ya Imam Ridha (AS) yawakaribisha maelfu ya vijana wanaojifunza Qur’ani

Picha: Haram ya Imam Ridha (AS) yawakaribisha maelfu ya vijana wanaojifunza Qur’ani

IQNA – Takribani vijana 5,000 wanaojifunza Qur’ani walikusanyika katika haram ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad mnamo Mei 3, 2025, kusoma Qur’ani Tukufu wakati wa sherehe za kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam huyo wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.
16:45 , 2025 May 05
Saudi Arabia yaanzisha kampeni ya kukabiliana na utapeli katika Hija

Saudi Arabia yaanzisha kampeni ya kukabiliana na utapeli katika Hija

IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimewakamata raia watano wa kigeni huko Khamis Mushayt, katika mkoa wa Asir kusini mwa nchi, kwa kuhusika na mpango wa kuwatapeli Mahujaji.
16:40 , 2025 May 05
Operesheni ya usafi yafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) wakati wa Wiki ya Karamat

Operesheni ya usafi yafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) wakati wa Wiki ya Karamat

IQNA – Operesheni maalumu ya usafi imefanyika katika haram takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, siku ya Jumamosi, kabla ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam huyo wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.
16:28 , 2025 May 05
Wizi wa Hati za Kiislamu: Jaribio la Wazayuni la kufuta utambulisho wa Waislamu

Wizi wa Hati za Kiislamu: Jaribio la Wazayuni la kufuta utambulisho wa Waislamu

IQNA – Utawala wa Kizayuni wa Israel ambao unakalia ardhi za Palestina kwa mabavu umejaribu mbinu mbalimbali kuiba hati za kale za Kiislamu.
16:03 , 2025 May 05
Msomi: Hija Ni Fursa ya Kujitambua

Msomi: Hija Ni Fursa ya Kujitambua

IQNA – Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija aameitaja safari ya Hija kama fursa ya dhahabu ya kujitambua na kupata uelewa wa kina zaidi wa Uislamu.
15:44 , 2025 May 05
Kanuni mpya zaibua changamoto katika mfumo wa elimu ya Qur'ani nchini Morocco

Kanuni mpya zaibua changamoto katika mfumo wa elimu ya Qur'ani nchini Morocco

IQNA – Taasisi za elimu za kitamaduni nchini Morocco zimekumbana na changamoto baada ya kuwasilishwa kwa kanuni mpya za kusaidia vituo binafsi vya Qur'ani.
15:32 , 2025 May 05
Ayatullah Khamenei: Hija ina manufaa kwa wanadamu wote

Ayatullah Khamenei: Hija ina manufaa kwa wanadamu wote

IQNA--Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amesema kuwa lengo la Mwenyezi Mungu katika kwa kuweka ibada ya Hija ni kuwasilisha kielelezo kamili na kinachoelekeza namna ya kuendesha maisha ya binadamu, na akaongeza: muundo na sura ya dhahiri ya ibada hii ni ya kisiasa kabisa, huku maudhui yake yakiwa ya kiroho na ya ibada, ili kuhakikisha manufaa kwa wanadamu wote.
21:29 , 2025 May 04
Mpalestina Aandika Kitabu kwa Wanaohifadhi Qur'ani Akiwa Gerezani Israel

Mpalestina Aandika Kitabu kwa Wanaohifadhi Qur'ani Akiwa Gerezani Israel

IQNA-Ramadhan Mushahara, Mpalestina mwenye umri wa miaka 49, amechapisha kitabu kiitwacho “Qur'ani kwa Wanaohifadhi”. Aliandika kitabu hiki akiwa gereza za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel, licha ya vizuizi vikubwa vya gerezani.
21:21 , 2025 May 04
Warsha wa nchini UAE kujadili Njia za Kufundisha Qur'ani kwa watoto

Warsha wa nchini UAE kujadili Njia za Kufundisha Qur'ani kwa watoto

IQNA- Warsha ya kielimu yenye kuhusu “Mbinu za Kufundisha Qur'ani kwa Watoto: Mitazamo ya Kihistoria na ya Kisasa”  imefanyka  huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu.
21:07 , 2025 May 04
15