Saikolojia katika Qur’ani /1
IQNA – Msongo wa mawazo (stress) au shinikizo la kisaikolojia ni hali ambayo hutokana na matukio mabaya au magumu ambayo huathiri mwili au akili ya mtu na kusababisha msukosuko na mfadhaiko.
Habari ID: 3478375 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Kuna msisitizo mkubwa ndani ya Qur’an Tukufu juu ya kufikiri na kutafakari kwa sababu kutafakari kunasaidia kumzuia mtu asipotee na kutafuta njia iliyo sawa.
Habari ID: 3475866 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/01