iqna

IQNA

makhtoum
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya washiriki 500 waliohifadhi Qur’ani Tukufu wameshiriki katika mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani yanayoandaliwa na Vituo vya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu vya Maktoum huko Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3475941    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17