IQNA

Waislamu katika nyusiku za Ramadhani nchini Misri -Video

20:06 - May 12, 2020
Habari ID: 3472760
TEHRAN (IQNA) - Tokea zama za kale, Waislamu nchini Misri hufyatua mizinga baada ya kuonekana hilalii ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kwa njia hiyo watu wote wapata habari za kuwadhia mwezi huu mtukufu.

Kwa kawaida katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, mitaa ya Misri hupambwa kwa  taa na vitambaa  maandishi ya  'Ramadhan Karim' na pia kunaandaliwa futari kwa ajili ya wasiojiweza katika misikiti. Hatahivyo mwaka huu kutokana na kuibuka ugongjwa wa COVID-19 hali ya Ramadhani ni tafauti ikilignaishwa na miaka iliyotangulia.

3898282

captcha