IQNA

Hizbullah:  Tunasimama pamoja na Iran kukabiliana na hujuma Marekani, Iran

Hizbullah: Tunasimama pamoja na Iran kukabiliana na hujuma Marekani, Iran

IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem amesisitiza uungaji mkono usioyumba wa harakati hiyo kwa Iran huku akilaani hujuma ya kichokozi na iliyo haramu inayotekelezwa na Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Iran.
22:47 , 2025 Jun 20
Wasomi wa Kiislamu Palestina waunga mkono Iran

Wasomi wa Kiislamu Palestina waunga mkono Iran

IQNA- Baraza la Maulamaa wa Kiislamu Palestina limetoa taarifa na kutangaza kufungamana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
22:04 , 2025 Jun 19
Qari maarufu wa Misri, Sheikh Taruti, afungamana na Iran katika kukabiliana na Israel

Qari maarufu wa Misri, Sheikh Taruti, afungamana na Iran katika kukabiliana na Israel

IQNA- Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Abdul Fattah  Taruti, ametangaza kufungamana na watu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
21:33 , 2025 Jun 19
Msomi wa Morocco: Nchi za Kiislamu ziunge mkono Iran kukabiliana na hujuma ya Israel

Msomi wa Morocco: Nchi za Kiislamu ziunge mkono Iran kukabiliana na hujuma ya Israel

IQNA- Rais wa zamani wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu, Sheikh Ahmed al Raissouni, ametoa wito kwa Waislamu duniani kote kuunga mkono Iran katika kukabiliana na hujuma ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, huku akisisitiza kuwa hakuna taifa ambalo limewaunga mkono ukombozi wa Palestina kama ilivyofanya Iran.
19:15 , 2025 Jun 19
Kiongozi  mkuu wa Mashia Iraq alaani vitisho  dhidi ya Ayatullah Khamenei

Kiongozi mkuu wa Mashia Iraq alaani vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei

IQNA-Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Mashia wa Iraq Ayatullah Sistani amelaani vikali hujuma inayoendelea ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na vitisho vyovyote dhidi ya maisha ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
18:54 , 2025 Jun 19
Kiongozi Muadhamu: Wamarekani wafahamu kuwa taifa la Iran halitasalimu amri

Kiongozi Muadhamu: Wamarekani wafahamu kuwa taifa la Iran halitasalimu amri

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema taifa la Iran litasimama kidete  katika kukabiliana na vita vya kulazimishwa, kama ambavyo halitakubali amani ya kutwishwa  na hivyo taifa hali halitasalimu amri.
22:39 , 2025 Jun 18
Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote

Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote

Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky amelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran na kuelezea hujuma hizo za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi huru kuwa ni kitendo cha juu zaidi cha uchokozi, kinachopaswa kulaaniwa duniani kote.
15:05 , 2025 Jun 18
Araghchi: Mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya Israel yamezingatia haki halali ya kujilinda

Araghchi: Mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya Israel yamezingatia haki halali ya kujilinda

(IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Bwana Abbas Araghchi, amefafanua kuwa mashambulizi ya hivi karibuni ya makombora ya Iran yalikuwa ni kitendo halali cha kujilinda, yaliyotekelezwa kujibu uchokozi wa wazi wa Israel dhidi ya maeneo ya kijeshi na ya kiraia.
20:53 , 2025 Jun 15
Jumuiya ya Qur'ani ya Iran inafungamana na utamaduni wa kupinga utawala wa Kizayuni

Jumuiya ya Qur'ani ya Iran inafungamana na utamaduni wa kupinga utawala wa Kizayuni

IQNA – Naibu Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu Iran ambaye anasimamia masuala ya Qur'ani na Itrah amelaani vitendo vya hivi karibuni vya uchokozi vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusisitiza azma ya jumuiya ya Qur'ani nchini kufungamana na utamaduni wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kuupinga utawala wa Kizayuni sambamba na kutetea maadili ya Kiislamu.
20:32 , 2025 Jun 15
Mahujaji wa Iran kurejea kwa njia mbadala kupitia Iraq baada ya kufutwa kwa safari za ndege

Mahujaji wa Iran kurejea kwa njia mbadala kupitia Iraq baada ya kufutwa kwa safari za ndege

IQNA – Shirika la Hija la Iran limetangaza kuanza upya kwa safari za kurudi nyumbani kwa Mahujaji wa Iran kwa njia ya anga na nchi kavu baada ya kufutwa safari za ndege katika anga ya Iran kufuatia hujuma ya utawala haramu wa Israel
19:23 , 2025 Jun 15
Iran yatakeleza awamu ya pili ya mashambulizi dhidi utawala haramu wa Israel

Iran yatakeleza awamu ya pili ya mashambulizi dhidi utawala haramu wa Israel

IQNA-Mashambulizi ya makombora ya Iran ya jana usiku ya kulipiza kisasi jinai za Israel ni makubwa kiasi kwamba hadi hivi sasa taasisi za utawala wa Kizayuni zimeemewa na hazijui zianzie wapi.
19:14 , 2025 Jun 15
“Tamko la Ghadir” kwa mtazamo wa mwanazuoni wa Kisunni

“Tamko la Ghadir” kwa mtazamo wa mwanazuoni wa Kisunni

IQNA – Katika kitabu chake “Tamko la Ghadir”, mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu, Sheikh Muhammad Tahir-ul-Qadri, anatafakari kwa kina tukio muhimu sana katika historia ya mwanzo ya Uislamu, hotuba ya Mtume Muhammad (SAW) huko Ghadir Khum.
21:12 , 2025 Jun 14
Ayatullah Khamenei: Majeshi ya Iran yataupiga kwa nguvu utawala wa kigaidi na  kishetani wa Israel

Ayatullah Khamenei: Majeshi ya Iran yataupiga kwa nguvu utawala wa kigaidi na kishetani wa Israel

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa Vikosi vya Ulinzi vya Iran vitachukua hatua kali na kuufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ufedheheke.
19:17 , 2025 Jun 14
Picha: Wairani  waandamana kulaani hujuma ya utawala wa Israel

Picha: Wairani waandamana kulaani hujuma ya utawala wa Israel

IQNA – Maelfu kwa maelfu ya wananchi wa Iran walimiminika mitaani kote nchini mara baada ya sala ya Ijumaa, tarehe 13 Juni 2025, kupinga kwa nguvu mashambulizi ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yao.
17:01 , 2025 Jun 14
Operesheni kubwa ya kijeshi ya Iran dhidi ya Israel yafanikiwa

Operesheni kubwa ya kijeshi ya Iran dhidi ya Israel yafanikiwa

IQNA-Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza kutekeleza wimbi la mashambulizi ya makombora dhidi ya utawala waKizayuni Israel, ili kulipiza kisasi kufuatia hujuma za utawala huo wa Kizayuni dhidi ya ardhi ya Iran.
10:48 , 2025 Jun 14
2