IQNA

Hamas yaonya kuhusu kuzorota kwa hali ya kibinadamu Gaza

Hamas yaonya kuhusu kuzorota kwa hali ya kibinadamu Gaza

IQNA: Baada ya kufariki kwa idadi ya watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza kutokana na baridi kali, Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombzoi wa Palestina, Hamas, imeonya kuhusu kuzidi kuzorota kwa hali ya kibinadamu katika eneo hilo ambalo liko chini ya mzingiro wa utawala katili wa Israel.
17:22 , 2026 Jan 14
Msomi: Ni Muhimu kutumia fursa ya Maonyesho ya Qur’ani kutambulisha neno la Wahyi duniani

Msomi: Ni Muhimu kutumia fursa ya Maonyesho ya Qur’ani kutambulisha neno la Wahyi duniani

IQNA – Afisa na msomi mmoja wa masuala ya Qur’ani Tukufu nchini Iran amesisitiza umuhimu wa kutumia uwezo na nafasi ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran yanayokuja ili kulitambulisha neno la Wahyi kwa watu wa ulimwengu.
15:42 , 2026 Jan 14
Adui anatambua dhamira ya Qur’ani ya kujenga ustaarabu

Adui anatambua dhamira ya Qur’ani ya kujenga ustaarabu

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani amesema kuwa Qur’ani Tukufu imetangaza wazi kuwa jukumu lake ni kuanzisha ustaarabu mpya, na adui analijua hilo.
15:36 , 2026 Jan 14
Mradi wa Tafsiri wa Al-Azhar Walenga Kusambaza Ujumbe wa Qur’ani Tukufu

Mradi wa Tafsiri wa Al-Azhar Walenga Kusambaza Ujumbe wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Kitivo cha Lugha cha Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri kinaendeleza mradi mahsusi wa tafsiri na tarjuma unaolenga kuufikisha ujumbe wa Qur’ani Tukufu kwa mataifa mbalimbali duniani.
10:48 , 2026 Jan 13
Jinai za Israel zaendelea,  Wapalestina 21 wapoteza maisha katika baridi kali Gaza

Jinai za Israel zaendelea, Wapalestina 21 wapoteza maisha katika baridi kali Gaza

IQNA – Tangu kuanza kwa vita vya kikatili vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, angalau Wapalestina 21 wamefariki katika eneo hilo kutokana na baridi kali na ukosefu wa vifaa vya kujihifadhi na kupashia joto, hali ambayo imesababisha na hatua ya Israel kuzuia misaada kufika eneo hilo.
10:30 , 2026 Jan 13
Mamilioni ya Wairani Waungana Kulaani Ugaidi wa Kizayuni na Kimarekani

Mamilioni ya Wairani Waungana Kulaani Ugaidi wa Kizayuni na Kimarekani

IQNA – Mamilioni ya wananchi nchini Iran waliandamana Jumatatu kulaani ghasia za hivi karibuni zilizochochewa na makundi ya kigaidi yanayodaiwa kuungwa mkono na Marekani na utawala wa Kizayuni.
10:04 , 2026 Jan 13
Kiongozi Muadhamu:: Kujitokeza wananchi katika maandamano ya kitaifa Iran kumevuruga njama za maadui

Kiongozi Muadhamu:: Kujitokeza wananchi katika maandamano ya kitaifa Iran kumevuruga njama za maadui

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, amepongeza maandamano ya kitaifa yaliyoonyesha uungaji mkono kwa Jamhuri ya Kiislamu, akisema wingi wa wananchi waliojitokeza “umeandika historia” na kuvuruga njama za maadui waliolenga kuibua misukosuko kupitia vibaraka wao wa ndani.
08:15 , 2026 Jan 13
Malengo ya Israel dhidi ya Iran hayatatimia, asema Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki

Malengo ya Israel dhidi ya Iran hayatatimia, asema Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki

IQNA – Akizungumzia machafuko yanayodaiwa kuungwa mkono na Israel katika miji ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki alisema kuwa malengo ya utawala wa Israel ndani ya Iran hayatoweza kutimia. Hakan Fidan amesisitiza kuwa utawala wa Tel Aviv hautafanikiwa katika njama zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
15:00 , 2026 Jan 12
Jumuiya ya Qur’ani ya Iran yataka adhabu kali kwa magaidi waibua  vurugu

Jumuiya ya Qur’ani ya Iran yataka adhabu kali kwa magaidi waibua vurugu

IQNA – Jumuiya ya Qur’ani ya Iran imelaani vikali machafuko mabaya yaliyotokea hivi karibuni nchini. Katika taarifa iliyotolewa Jumatatu, jumuiya hiyo iliwashukuru vikosi vya ulinzi na usalama kwa juhudi zao za kurejesha utulivu na amani katika jamii.
14:49 , 2026 Jan 12
Siku tatu za maombolezo ya kitaifa Iran kwa ajili ya waliouawa katika ghasia zilizochochewa na Marekani, Israel

Siku tatu za maombolezo ya kitaifa Iran kwa ajili ya waliouawa katika ghasia zilizochochewa na Marekani, Israel

IQNA-Serikali ya Iran imetangaza siku tatu za maombolezo kwa ajili ya kuwakumbuka waathiriwa, wakiwemo askari wa vikosi vya usalama na wa jeshi la kujitolea, ambao wameuliwa shahidi na magaidi wafanyaji fujo na vurugu wanaoungwa mkono na Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel, waliojaribu kuteka nyara maandamano ya amani ya wananchi ya kulalamikia hali ya uchumi nchini.
14:40 , 2026 Jan 12
Kwa jina la Qur’ani Tukufu; simulizi ya Kongamano la Pili la Siku ya Kimataifa ya Qur’ani huko Qom

Kwa jina la Qur’ani Tukufu; simulizi ya Kongamano la Pili la Siku ya Kimataifa ya Qur’ani huko Qom

IQNA-Kongamano la pili la Siku ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu limefanyika Jumapili 11 Februari jijini Qum, Iran, sambamba na kukaribia tarehe 27 Rajab ambayo inatambuliwa kama Siku ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ukumbi wa Bibi Fatima al‑Ma‘suma (SA.)
14:31 , 2026 Jan 12
Kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Kuhusu Somalia

Kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Kuhusu Somalia

IQNA- Kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kilichojadili suala la Somalia na hatua ya utawala wa Kizayuni ya kulitambua eneo la nchi hiyo la Somaliland, kama nchi huru kimefanyika katika makao makuu ya jumuiya hiyo mjini Jeddah, Saudi Arabia.
11:03 , 2026 Jan 11
Kifaa Kipya cha eBraille kurahisisha masomo ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho

Kifaa Kipya cha eBraille kurahisisha masomo ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho

IQNA – Kifaa kipya cha kielektroniki cha eBraille kilichotengenezwa nchini Malaysia kimeleta mageuzi makubwa katika kujifunza Qur'ani Tukufu kwa watu wenye uoni hafifu, au ulemavu wa macho kwa kuwapa uwezo wa kupata maandiko ya dini moja kwa moja kwa njia ambayo haijawahi kupatikana hapo awali, sambamba na kufungua fursa katika nyanja nyingine za elimu.
10:51 , 2026 Jan 11
Waandamanaji waungaji mkono Palestina wachoma bendera za Israel nchini Morocco

Waandamanaji waungaji mkono Palestina wachoma bendera za Israel nchini Morocco

IQNA – Maelfu ya waandamanaji walijitokeza Ijumaa katika mji mkuu wa Morocco kupinga hatua ya nchi hiyo ya kuendeleza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
10:39 , 2026 Jan 11
Mufti Mkuu wa Lebanon aangazia uhusiano wa kindugu kati ya Waislamu wa Kishia na Kisunni

Mufti Mkuu wa Lebanon aangazia uhusiano wa kindugu kati ya Waislamu wa Kishia na Kisunni

IQNA – Mufti Mkuu wa Lebanon, Sheikh Abdul Latif Darian, amesema kuwa uhusiano kati ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni nchini humo ni wa kindugu na wa kuheshimiana.
10:27 , 2026 Jan 11
5