iqna

IQNA

qatif
Ukandamizaji
TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Juu ya Saudia imeendeleza sera za kuwaua Waislamu wa madhehebu ya Shia kwa kuidhinisha hukumu ya kuwanyonga vijana wawili raia wa Bahrain.
Habari ID: 3475275    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa madhehebu ya Shia katika kijiji cha Umm al Himam katika eneo la Qatifa nchini Saudia Arabia Jumatatu walishiriki katika dhifa ya futari ya umma kwa mara ya kwanza tokea lianze janga la corona.
Habari ID: 3475172    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/26

TEHRAN (IQNA)- Hatua ya utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia ya kuwanyonga watu 81 wakiwemo vijana 41 wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia imekbiliwa na upinzani mkali na jamii ya kimataifa, makundi na harakati za kisiasa katika nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3475034    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

TEHRAN (IQNA)- Wanaharakati wa haki za binadamu wameonya kuwa, utawala wa Aal-Saud unapanga kuwanyonga makumi ya vijana Waislamu wa madhehebu ya Shia mkoani Qatif mashariki mwa Saudi Arabia.
Habari ID: 3474025    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/20

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa kiimla wa Saudi Arabia unapanga kuwatimua wenyeji mji wa Qatif, ambao wakaazi wake wengi ni Waislamu wa madhehebu ya Shia.
Habari ID: 3473742    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/17

TEHRAN (IQNA) - Wanazuoni zaidi ya 12 wa Kiislamu kutoka madhehebu ya Shia wanashikiliwa bila kufunguliwa mashtaka nchini Saudi Arabia huku ufalme huo ukishadidisha ukandamizaji wa jamii za waliowachache nchini humo.
Habari ID: 3473482    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umetoa amri ya kubomolewa msikiti alimokuwa akiswalisha mwanazuoni maarufu wa Waislamu wa madehehebu ya Shia, Shahidi Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 3473410    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/01

TEHRAN (IQNA)- Hatimaye Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Saudi Arabia usitishe jinai na hujuma zake dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471119    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/13

Vikosi vya usalama Saudia vimewatia mbaroni maulamaa wawili Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa katika mji mtakatiffu wa Makka.
Habari ID: 3470543    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/02

Waislamu katika eneo la Qatif Saudi Arabia Ijumaa hii wametoa wito wa kusitishwa hukumu ya kunyongwa mwanazuoni maarufu wa Kiislamu katika eneo hilo Sheikh Nimr Baqir An Nimr.
Habari ID: 3460127    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/06

Vijana wanne wa Kishia nchini Saudi Arabia wamefanikiwa kuchukua nafasi za juu katika awamu ya tatu wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani na Hadithi yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Madina.
Habari ID: 3446588    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/10

Wanaharakati wameandamana tena nje ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London kupinga hukumu ya kifo iliyotolewa na mahakama kuu dhidi ya mwanazuoni mashuhuri wa Waislamu wa madhehebu ya Shia, Sheikh Nimr Baqir An-Nimr.
Habari ID: 3415411    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/30

Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (ISESCO) limelaani vikali hujuma ya kigaidi dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa katika majlisi ya maombolezo ya siku 10 za Muharram nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3388672    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/18

Waislamu watano wa madhehebu ya Shia wameuawa nchini Saudi Arabia kufuatia hujuma ya kundi la kigaidi la Daesh au ISIS katika majlisi ya maombolezo ya siku 10 za Muharram.
Habari ID: 3386096    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/17

Waislamu wa madhehebu ya Shia na wenzao wa Ahlu Sunnah, wamesali pamoja katika moja ya misikiti ya mkoa wa Qatif, mashariki mwa Saudia.
Habari ID: 3324232    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/07

Walimwengu wanaendelea kulaani hujuma ya kundi la kigaidi na Kitakfiri la ISIS au Daesh dhidi ya msikiti wa Msikiti wa Imam Hussein AS katika mji wa Dammam mashariki mwa Saudi Arabia.
Habari ID: 3309278    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/30